TO BE OR NOT TO BE THE BOSSLADY. UTAJIBEBAA!!!


The Boss Lady Tanzania

Jackie Cliff
The Boss Lady Kenya 
Alhuddah

The Boss Lady Uganda
Zari


kuwa Boss Lady ni kazi ujuwe kuna extra things ufanye ndio watu wakutambue wewe ni queen of the jungle, ladies and gentlemen nawaleta kwenu the three BOSS LADIES OF EAST AFRICA COMMUNITY
clap your hands for them ( kama nakuona hapo unaguna mmmmh) kuna tatizo kwani??????? haijalishi wanafanya kazi gani boss ni boss tu na hao wame prove kuwa ndio wenyewe kwenye hii region ya EA.

Heeee kama umenuna mihogo yako uikaange, uichemshe, uipike futari ila ni mihogo tuu, so tambua uwepo wao wakiwa sehemu yeyote. Chezea Uzitoooooooooooo mbuta nangaaa.


WADADA WALIOAMUA KUENDELEZA URITHI WETU (AFRICA)

my twinnie Vmoney

Fiderine Iranga

Aunt Ezekiel
Zamaradi M
Irene Uwoya
Linah baby
Dina n Sakina 
Miriam Odemba
yes wapenzi leo nimewaletea maduu wa bongo wasiojua hata chembe ya kujipiga deki , kwakweli hawa wadada wameamua kurithi asili yetu ya UAfrica, hawajui hata lotion nini kwao, inapendeza kuona bado kuna vichuna vipo black na wanakikii kinoma town. hongereni sana wapendwa kwa kujiweka sopsop bila carolight.

kuwa mmoja wao  USIJICHUBUE 

upigaji wa deki ni hatari kwa ngozi yako.

VODACOM FOUNDATION LIVE CHAT


PICK OF THE DAY

hata aibu sioni sijuwi hapo chini
naingia mara ngapi
ngoja niringie ka ngongingo changu
heiii ombe weiii vabwange tushikamaneee
mambo iko hukuuuuu
mamaaaa, watapona kweli kwa hali hii?
labda vichaaa
ukikipata kitumie ipasavyoo na
ukikikosa kijutie
tawireee Aggy wengine wanakunywa dawa
 kupata haya,

 wewe sema Amen kwa
Mungu wako

jipige picha kila siku 
cute
yesu baba rudiiiii
wengine utuongeza japo
kidogo maana hali nitete


Muacheni Mungu aitwe Mungu 
#TeamUkikipataKitumieUkikikosaKijutie



Jiburudishe na fo sho fo shizzy, kutoka kwa shemeji yetu mpenzi na kati ya KE, nashukuru sasa si ujirani tu na undugu umeanza sasa KE is our second home for sho for shizzy